Boban na Kaseja anayechezea Kagera Sugar waliitwa na Kocha wa Timu ya Taifa ya Beach Soccer ya Tanzania, John Mwansasu katika kikosi kilichoshiriki michuano maalum ya Copa Dar es Salaam.
Michuano hiyo ilishirikisha timu nyingine za Malawi, Uganda na Zanzibar ambapo Zanzibar ilitwaa ubingwa kwenye viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaam