Serikali imeridhia kampuni ya IPP Media kusitisha uchapishaji wa gazeti la Nipashe Jumapili kwa miezi mitatu na kuomba radhi binafsi kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Rwanda, Paul Kagame. 

Serikali imeridhia kampuni ya IPP Media kusitisha uchapishaji wa gazeti la Nipashe Jumapili kwa miezi mitatu na kuomba radhi binafsi kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Rwanda, Paul Kagame. 
