×

HEBU CHEKI NGWASUMA ILIVYODATISHA THE JONZ LEO

Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ usiku wa kuamkia leo walifanya makamuzi ndani ya Ukumbi wa The Jonz uliopo Magomeni jijini Dar. Katika onesho hilo bendi hiyo iliweza kuwapagawisha mashabiki wake kwa kuwapigia vibao vyake  vilivyowahi kutikisa kama vile, Dunia kigeugeu, Anna na vingine vingi.

Shabiki akijiachia na King Blaise wa Ngwasuma.
Tresor kushoto na Asha Sharapova wakiwajibika.
Rapa wa FM Academia maarufu Hitler akiwajibika
Rapa Kabatano kulia na Fabrice Mauzo wakikamua.
Mashabiki wakiendelea kufanya yao.
Wanenguaji na mashabiki wakitoana kijasho.

PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL