BAADA jana kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Taifa katika mchezo wa ligi kuu, Simba leo imeendelea na mazoezi ya kujiandaa na mchezo wao wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Klabu ya Gendarmerie ya Djibouti utakaopigwa keshokutwa Jumapili, Taifa.

Katika mazoezi ya leo, kipa wa Simba aliyekuwa majeruhi, Said Mohammed Nduda amejumuika na wenzake.




(PICHA: MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS)