
SIMANZI, vilio na majonzi vimetawala miongoni mwa waombolezaji wakati wa kuuzika mwili wa aliyekuwa Video Queen, Agness Gerald ‘Masogange’ katika kijiji cha Utengule, Mbalizi Mkoani Mbeya, leo Aprili 23, 2018.







SIMANZI, vilio na majonzi vimetawala miongoni mwa waombolezaji wakati wa kuuzika mwili wa aliyekuwa Video Queen, Agness Gerald ‘Masogange’ katika kijiji cha Utengule, Mbalizi Mkoani Mbeya, leo Aprili 23, 2018.





