×

KWA HERI MASOGANGE: SIMANZI NA VILIO MAZISHI YA AGNESS – (VIDEO+PICHAZ)

SIMANZI, vilio na majonzi vimetawala miongoni mwa waombolezaji wakati wa kuuzika mwili wa aliyekuwa Video Queen, Agness Gerald ‘Masogange’ katika kijiji cha Utengule, Mbalizi Mkoani Mbeya, leo Aprili 23, 2018.