Paul Makonda Aongoza Kumzika Bi Sarah Kibonde Dar (Picha + Video)
MKE wa Mtangazaji wa Clouds Media, Ephraim Kibonde, Bi Sarah Kibonde, amezikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo watu mbalimbali walihudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Rogers Sianga, Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Greyson Msigwa, wasanii wakiongozwa na Lady Jaydee, wafanyakazi wa Clouds Media Group, ndugu, jamaa na marafiki.
(PICHA: HILALY DAUDI | GLOBAL TV – GPL)
Comments are closed.