QUICK ROCKA AFUNGUKIA KUDETI NA KIM NANA
MWANAMUZIKI wa Bongo Flava, Aboot Racka ‘Quick Rocka’ amefungukia madai ya kutoka kimapenzi na Video Queen Lilian Kessy ‘Kim Nana’, ambaye inadaiwa ni mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Quick Rocka alisema: “Ni kweli namfahamu Kim Nana kama mtu niliyekuwa nafanya naye kazi tu lakini hakuna mambo ya mapenzi kabisa.”
STORI: Imelda Mtema, Dar
Comments are closed.