×

Diamond Platnumz Aweka Historia Nangwanda Mtwara

Msanii wa muziki wa kizazi kipya na C.E.O wa lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) Diamond Platinumz, akiongea na mashabiki  waliofurika katika tamasha la Wasafi Festival 2018   Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.
….Akifanya yake stejini.
…Akiwa katika hekaheka za kusalimiana na mashabiki.
…Akiendelea kutoa burudani.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya na C.E.O wa lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Diamond Platinumz,  ameacha historia ya aina yake usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la Wasafi Festival 2018 lilofanyika usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.

Baadhi ya wasanii waliotumbuiza katika tamasha hilo ni Diamond, Harmonize, Rayvanny, Dudu Baya, Country Boy, Lava Lava, Young Killer, Navy Kenzo, Chin Bees, Mbosso, Queen Darling, mchekeshaji Dulvan na wengine kibao.

PICHA NA MUSA MATEJA | MTWARA – GPL

BASATA watinga Wasafi Festival “Diamond ni Hatari”