UMOJA wa wanawake Tanzania (UWT) umeandaa kongamano maalum la Kumpongeza Rais wa Tanzania, John Magufuli, kutokana na juhudi zake kubwa anazozifanya za kuliletea Taifa maendeleo na kutatua shida za wananchi wake.
UMOJA wa wanawake Tanzania (UWT) umeandaa kongamano maalum la Kumpongeza Rais wa Tanzania, John Magufuli, kutokana na juhudi zake kubwa anazozifanya za kuliletea Taifa maendeleo na kutatua shida za wananchi wake.