×

KIMENUKA: Halima Mdee ‘AVURUGA’ Bunge “Waziri Acha Upotoshaji” – VIDEO

Mbunge wa Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chadema, Halima Mdee, amewasha moto Bungeni wakati akichangia hoja katika mjadala wa vyama vya siasa ulipowasilishwa Bungeni leo Januari 29.