Mbunge wa Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chadema, Halima Mdee, amewasha moto Bungeni wakati akichangia hoja katika mjadala wa vyama vya siasa ulipowasilishwa Bungeni leo Januari 29.
Mbunge wa Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chadema, Halima Mdee, amewasha moto Bungeni wakati akichangia hoja katika mjadala wa vyama vya siasa ulipowasilishwa Bungeni leo Januari 29.