Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya uteuzi wa Mkurugenzi wa PSSSF na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TIB Corporate Bank Ltd pamoja na Mkurugenzi wa TANTRADE. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya uteuzi wa Mkurugenzi wa PSSSF na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TIB Corporate Bank Ltd pamoja na Mkurugenzi wa TANTRADE. 