Mwanamuziki Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’, amekanusha tetesi zilizowahi kuvuma mitandaoni kuwa aliwahi kumpiga aliyekuwa mkewe Muigizaji Irene Uwoya.
Mwanamuziki Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’, amekanusha tetesi zilizowahi kuvuma mitandaoni kuwa aliwahi kumpiga aliyekuwa mkewe Muigizaji Irene Uwoya.