Mapema leo April 2, 2019, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza kikao chake cha kwanza katika mkutano wa 15, Ambapo mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Maadili ya Bunge amewasilisha taarifa za kamati ya haki maadili na madaraka ya bunge.
Mapema leo April 2, 2019, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza kikao chake cha kwanza katika mkutano wa 15, Ambapo mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Maadili ya Bunge amewasilisha taarifa za kamati ya haki maadili na madaraka ya bunge.