Mwili wa Dr. Mengi Ulivyoagwa Karimjee Dar (Picha + Video)
MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi, umeagwa leo Mei 7, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Rais John Magufuli na Makamu wake, Samia Suluhu wameungana na familia ya marehemu na waombolezaji wote kuuga mwili huo.
Baada ya kuagwa utasafirishwa kesho kwenda kijijini kwao Machame mkoani Kilimanjaro ambako utazikwa siku ya Alhamisi.
PICHA NA RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.