
Mwili wa marehemu Dkt. Reginald Mengi tayari umekwishawasili nyumbani kwake, Nkweseko Machame ambapo mwili utalala kabla ya kesho Kwenda ibadani na baadae mazishi.












Mwili wa marehemu Dkt. Reginald Mengi tayari umekwishawasili nyumbani kwake, Nkweseko Machame ambapo mwili utalala kabla ya kesho Kwenda ibadani na baadae mazishi.










