KIKOSI cha Yanga Mei 14, 2019 kimeibuka na ushindi wa 1-0 lililofungwa na Tshishimbi katika kipindi cha kwanza na hivyo kuwafanya Yanga kuchukua pointi tatu na kuwa kileleni mwa msimamo mwa Ligi Kuu Tanzania Bara.
KIKOSI cha Yanga Mei 14, 2019 kimeibuka na ushindi wa 1-0 lililofungwa na Tshishimbi katika kipindi cha kwanza na hivyo kuwafanya Yanga kuchukua pointi tatu na kuwa kileleni mwa msimamo mwa Ligi Kuu Tanzania Bara.