USIKU wa kuamkia leo Julai 22, 2019 staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amefanya shoo ya aina yake kwenye jukwaa la Wasafi Festival 2019, mkoani Mwanza katika viwanja vya Rock City Mall.
USIKU wa kuamkia leo Julai 22, 2019 staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amefanya shoo ya aina yake kwenye jukwaa la Wasafi Festival 2019, mkoani Mwanza katika viwanja vya Rock City Mall.