The House of Favourite Newspapers

VIDEO: IBADA ya EID EL HAJ, KUSWALIWA JUMATATU NYAMAGANA


Sheikh mkuu mkoa wa Mwanza Hassan Kabeke ametangaza Ibada ya Eid Alhaji kwa mkoa wa Mwanza mwaka huu itaswaliwa katika uwanja wa Nyamagana siku ya Jumatatu majira ya saa 1:30 asubuhi.

Comments are closed.