Aliyemlipia Pesa ya Dhamana R Kelly, Adai Pesa Zake
MKONGWE wa muziki nchini Marekani, R Kelly jana alifikishwa mahakamani ili kusikiliza moja ya kesi yake zinazomkabili ambapo kwa mara ya kwanza alikuwa na mavazi ya wafungwa tangu alivyokamatwa mwezi Julai mwaka huu.
Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa mwanamke mmoja aliyekuwa akimsaidia mwanamuziki R Kelly kwa kumlipia pesa ya dhamana ameibuka na kudai alipwe pesa zake. Mwanamke huyo amefunguka kuwa aliamua kumlipia pesa ya dhamana mwanamuziki huyo kwa sababu alikuwa anaamini hana hatia.
.
Comments are closed.