Tamasha la Wasafi Festival Iringa limefanyika usiku wa leo katika Uwanja wa Samora, burudani ikitolewa na wasanii mbalimbali akiwemo Diamond, Rayvanny, Mbosso, Queen Darleen, Jux na Dulla Makabila.
Tamasha la Wasafi Festival Iringa limefanyika usiku wa leo katika Uwanja wa Samora, burudani ikitolewa na wasanii mbalimbali akiwemo Diamond, Rayvanny, Mbosso, Queen Darleen, Jux na Dulla Makabila.