KIJANA Mmoja mwenye umri wa miaka 24, William Ally, mkazi wa Jijini Dar, anadaiwa kumuua ndugu yake, Mudy Hamis, kwa kumpiga na kitu kizito kichwani na kisha yeye kujinyonga.
KIJANA Mmoja mwenye umri wa miaka 24, William Ally, mkazi wa Jijini Dar, anadaiwa kumuua ndugu yake, Mudy Hamis, kwa kumpiga na kitu kizito kichwani na kisha yeye kujinyonga.