SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameahirisha mkutano wa 17 wa bunge hilo na shughuli zake hadi Jumanne ya Januari 28, 2020.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameahirisha mkutano wa 17 wa bunge hilo na shughuli zake hadi Jumanne ya Januari 28, 2020.