





Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anaendelea na ziara yake hapa Zanzibar ambapo anaweka jiwe la msingi la Shule ya Sekondari Mwanakwerekwe iliyopo Mjini Magharibi na Hoteli yenye hadhi ya nyota tano iitwayo Hotel Verde Azam Luxury Resort and Spa iliyopo Mtoni.