KOCHA mpya wa Yanga, Luc Eymael raia wa Ubelgiji, ameanza kazi kwa kichapo baada ya jana kushuhudia timu yake ikifungwa mabao 3-0 na Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa Uwanja wa Uhuru, Dar.
KOCHA mpya wa Yanga, Luc Eymael raia wa Ubelgiji, ameanza kazi kwa kichapo baada ya jana kushuhudia timu yake ikifungwa mabao 3-0 na Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa Uwanja wa Uhuru, Dar.