Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cook, akizungumza katika hafla maalumu ya kuonja pombe kali aina ya Whisky iliyoratibiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL) ikililenga kuwapa nafasi wateja na wadau wengine nafasi ya kuzifahamu na kuzionja pombe kali zinazosambazwa na kampuni hiyo ikiwamo Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake. Hafla iliyofanyika kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL), Mark Ocitti, akizungumza katika hafla maalum ya Whisky Tasting iliyoratibiwa na Serengeti Breweries Limited (SBL) ikilenga kuwapa nasasi wateja na wadau wengine kuonja ladha ya vinywaji vikali vinavyosambazwa na kampuni hiyo ikiwemo Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake. Hhafla iliyofanyika kwenye makazi ya balozi wa Uingereza jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL), Mark Ocitti (kushoto), na balozi wa Uingereza, Sarah Cook, wakionja Whisky aina ya John Walker Blue Label katika hafla maalum ya ‘Whisky Tasting’ iliyoratibiwa na Serengeti Breweries Limited (SBL) ikilenga kuwapa nasasi wateja na wadau wengine kuonja ladha ya vinywaji vikali vinavyosambazwa na kampuni hiyo ikiwamo Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake. Hafla iliyofanyika kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es Salaam jana.
