The House of Favourite Newspapers

Auawa kwa Radi Akinyolewa Saluni Njombe

0

MARTIN NYIGU (35) mkazi wa kijiji cha Lusitu, kata ya Luponde, halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe,  amefariki dunia kwa kupigwa na radi jana majira ya saa 9 alasiri akiwa ananyoa nywele saluni huku kinyozi na wateja waliokuwa wanasubiri huduma wakiwa salama.

 

Diwani wa  Luponde, Ulrick Msemwa, amethibitisha ukweli wa taarifa hizo kwa mujibu wa taarifa za awali alizopokea kutoka kwa mtendaji wa kata hiyo, Patrick Mtundu.

 

Leave A Reply