Matarajio ya Hali Mbaya ya Hewa kwa Siku Tano Zijazo
Global Publishers April 13, 2020 0 Comments
SHARE THIS:
HABARI:- Mamlaka ya hali ya hewa nchini (TMA) imetoa angalizo la kunyesha kwa mvuakubwa na za wastani kwa mikoa saba nchini ikiwemo Lindi, Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, Pwani, visiwa vya Mafia, Unguja na Pemba.