Katika kujikinga dhidi ya virusi vya corona, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imetangaza kusitisha mikutano na waandishi wa habari na shughuli nyengine zitazofanya waandishi wa habari kukusanyika. Taarifa kuhusu #COVID-19 zitatolewa kupita taarifa kwa umma au kurushwa ZBC.
