Global Publishers May 4, 2020 4,034 views 0 Comments
SHARE THIS:
Wizara ya Afya, Maendeleo Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema hakuna haja ya maiti iliyofariki kwa Ugonjwa wowote ule kuzikwa gizani, na kuwaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuzishirikisha familia na kufuata taratibu zote za utu.