×

Wagonjwa wa Corona Zanzibar Wafika 134

Wizara ya Afya Zanzibar imetoa taarifa ya ongezeko la wagonjwa wapya 29 wa covid 19 visiwani Zanzibar na kufikia idadi ya wagonjwa wa corona 134 kutoka wagonjwa 105 waliotolewa taarifa Aprili 26 mwaka huu.

 

Leave a Comment