×

Dkt. Hussein Mwinyi Achukua Fomu ya Urais

Mbunge wa Jimbo la Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea Urais wa #Zanzibar. Dkt. Mwinyi amechukua fomu hiyo mchana wa leo katika Ofisi ya CCM Kisiwandui, Unguja.

Leave a Comment