Mabaki ya Ndege ya Urusi Baada ya Kuanguka Sinai, Misri
Global Publishers November 2, 2015 0 Comments
SHARE THIS:
Wachunguzi wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.
Mabaki ya Ndege aina ya Airbus A-321 iliyoanguka siku ya Jumamosi ikitokea Mji wa Sharm el-Sheikh ikielekea mji wa St. Petersburg nchini Urusi.