×

TGNP Yawanoa Wanahabari Kuchambua Bajeti Ya Kijinsia

Mkuu wa mpango huo, Shakila Mayumana akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).

Mkuu wa mpango huo, Shakila Mayumana akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).

Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP, Lilian Liundi naye akitoa somo kwa wanahabari.

Taasisi ya Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) leo imeendesha mafunzo kwa wanahabari kuhusiana na kuichambua bajeti ya serikali iliyopitishwa hivi karibuni katika mrengo wa kijinsia.

Katika bajeti hiyo yalijadiliwa mambo kadhaa ikiwemo sekta ya elimu, afya, kilimo na nyinginezo.

Wanahabari hao walielekezwa jinsi ya kuripoti habari zao kwa kuzingatia mrengo wa kijinsia ikiwemo kuichambua bajeti katika mrengo huo.

Somo likiendelea.
Wahudhuriaji wakiwa makini kufuatilia kinachoendelea.
Picha ya pamoja baada ya mafunzo.

HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS /GPL

Leave a Comment