
Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Ayoub Lyanga, amefuzu vipimo vya afya leo Agosti 2, 2020 tayari kabisa kumaliza taratibu za kujiunga na Azam FC kuelekea msimu ujao.


Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Ayoub Lyanga, amefuzu vipimo vya afya leo Agosti 2, 2020 tayari kabisa kumaliza taratibu za kujiunga na Azam FC kuelekea msimu ujao.
