×

Video: Magufuli Atinga Simiyu Kunadi Sera Zake


Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amefika kuomba kura mbele ya mamia ya wananchi wa Maswa mkoani Simiyu.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Picha mbalimbali zikionyesha maelfu ya wananchi katika maeneo ya Kata za Solwa-Maswa, Lamadi-Busega na Itilima wakiwa wamejipanga njiani kusalimiana na mgombea wa Urais wa CCM Ndg, Magufuli akiwa njiani kuelekea Mkoani Mara.

Leave a Comment