×

Chenge ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa uchaguzi wa Spika bungeni

chengeKatibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Thomas Kashilila asubuhi hii amemteua Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge kuwa Mwenyekiti wa uchaguzi wa Spika wa Bunge unaofanyika leo bungeni.

Leave a Comment