
Maazimisho ya siku 16, yafanyika Wilaya ya Kibiti,Mkoani Pwani,ambapo Mbunge wa Wilaya hiyo,Twaha Ally Mpembenwe, pamoja na Mkurugenzi wa Willaya hiyo Mohamed Mavura,walishirikiana pamoja na wananchi kwenye siku hiyo,na kukagua miradi mbalimbali ya wilayani humo.
PICHA NA IMELDA MTEMA | GPL


