×

Harmonize, Kajala Walivyoibuka Hafla ya CRDB Bank – Video

Staa wa Bongo Fleva na Balozi wa Benki ya CRDB, Harmonize, akimtambulisha mpenzi wake, Kajala, kwa wageni wakati wa uzinduzi wa App ya SimBanking uliofanyika usiku wa kuamkia leo Februari 25, 2021 katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.

STAA wa Bongo Fleva na Balozi wa Benki ya CRDB, Harmonize, usiku wa kuamkia leo Frbruari 25, 2021 amefika katika  uzinduzi wa App ya SimBanking uliofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam akisindikizwa na mpenzi wake, Kajala.

…Akiongea jambo.

Leave a Comment