
| POST | FUNDI SANIFU DARAJA LA II (UMEME WA MAGARI – AUTO ELECTRIC TECHNICIAN) – 4 POST |
| POST CATEGORY(S) | ENGINEERING AND CONSTRUCTION |
| EMPLOYER | Tanzania Electrical,Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) |
| APPLICATION TIMELINE: | 2021-06-17 2021-07-01 |
| JOB SUMMARY | NA |
| DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i. Kuchunguza na kubaini matatizo ya mifumo ya umeme naelektroniki kwenye magari/mitambo na kuyatatua; ii. Kufanya matengenezo ya vifaa vya umeme/elektroniki kwenye magari/mitambo; iii. Kuhakikisha usalama kwa watumishi na mali wakati wote wa utendaji kazi; iv. Kuhifadhi na Kutunza vifaa anavyofanyia kazi; v. Kuhakikisha vifaa vya karakana na mazingira yake ni safi wakati wote; vi. Kufanya kazi atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi; na vii. Kufanya uchunguzi, kubaini, kuandaa gharama na kurekebisha matatizo ya umeme katika magari kwa kutumia “Auto Diagnostic Machine”. |
| QUALIFICATION AND EXPERIENCE | • Awe na elimu ya kidato cha sita na kuhitimu kozi ya ufundi ya miaka miwili katika fani ya Ufundi Umeme wa Magari/Mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali, au • Awe na elimu ya kidato cha nne na kufuzu kozi ya miaka mitatu katika fani ya Ufundi umeme wa Magari/Mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali, au • Awe na elimu ya kidato cha nne na Cheti cha Majaribio ya Ufundi Hatua ya I (Trade Test I) katika fani ya Ufundi umeme magari/mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali; • Awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu (3) wa kufanya matengenezo ya mifumo ya umeme/elektroniki kwenye magari madogo na makubwa/mitambo kwenye karakana/gereji iliyosajiliwa; • Awe mchapakazi, anayejiamini na mwenye uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa na • Mwenye uzoefu kwenye matengenezo ya mifumo ya umeme/elektroniki ya magari /mitambo ya kisasa atapewa kipaumbele. |
| REMUNERATION | TGS C |
BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI