MBUNGE wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Eric Shigongo anazungumza na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ya kimaendeleo aliyoyafanya katika kipindi kifupi cha miezi 8 Jimboni kwake sambamba na mikakati yake ya kimaendeleo katika jimbo hilo.
FUATILIA LIVE KUPITIA GLOBAL TV ONLINE HAPA HAPA