Shahidi Akana Kutapeliwa na Sabaya “Simtambui” – Video
Global Publishers July 19, 2021 0 Comments
SHARE THIS:
Shahidi Mohammed Saadi kwenye kesi ya unyang’anyi kutumia silaha inayomkabili aliekuwa DC wa Hai Lengai Sabaya ameseme aliwaona tu kwa CCTV camera na alikimbilia porini kwa kupata hofu.