The House of Favourite Newspapers

Mzee Manara: Yanga Hatukustahili Kufungwa

0

MZEE Sunday Mnara, baba mzazi wa Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara ambaye ni ingizo jipya kutoka Simba, amesema kuwa kufungwa kwenye mchezo wa majaribio ni jambo la kawaida kwa kuwa jana kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Zanaco.

 

Amesema kuwa ukweli ni kwamba uongozi wa Yanga unatakiwa kukaa na benchi la ufundi ili kuweza kuongea naye ili waweze kushinda kwa kuwa hawakustahili kushindwa.

 

Leave A Reply