Mbunge Humphrey Polepole leo 11 Dec 2021, amezungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali ya kitaifa, likiwemo suala la yeye kuitwa TCRA na madai ya kutaka kujiondoa CCM
Mbunge Humphrey Polepole leo 11 Dec 2021, amezungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali ya kitaifa, likiwemo suala la yeye kuitwa TCRA na madai ya kutaka kujiondoa CCM