×

TCB Yatoa Vifaa Vya Usalama Barabarani Kwa Jeshi la Polisi

Wakiwa katika picha ya pamoja.

 

 Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB imekabidhi msaada wa vifaa vya kuongezea usalama barabarani pamoja na  vibanda kumi vya kupunzikia askari wa  kitengo hicho ambapo makabidhiano hayo yamefanyika katika kituo kikubwa cha polisi cha Oystebay jijini Dar es Salaam.

Leave a Comment