Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji ametembelea mradi wa Kimkakati wa kilimo cha Miwa na uzalishaji wa sukari unatekelezwa na kampuni ya Bagamoyo Sugar Limited ili kukagua utekelezaji wa mradi huo.
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji ametembelea mradi wa Kimkakati wa kilimo cha Miwa na uzalishaji wa sukari unatekelezwa na kampuni ya Bagamoyo Sugar Limited ili kukagua utekelezaji wa mradi huo.