Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM leo, Ikulu Chamwino
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, kilichokutana leo, Ikulu Chamwino Dodoma.