RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kikazi mkoani Manyara ambapo amezindua vihenge pamoja na maghala ya chakula mkoani humo.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kikazi mkoani Manyara ambapo amezindua vihenge pamoja na maghala ya chakula mkoani humo.