Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Atangaza nafasi za kazi kwa Vijana
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, John Masunga ametangaza nafasi za kazi kwa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) au walioko kambini wenye sifa tajwa.