
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Khamis Sued Kagasheki kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole kuanzia tarehe 18 Aprili, 2023, Kagasheki amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Uwaziri wa Maliasili na Utalii na Ubunge wa Bukoba Mjini.

