Mashabiki wa Mkurugenzi mkuu wa lebo ya muziki ya Konde Music Worldwide Harmonize wamepongeza wimbo wa Dear X, huku wakimtaja muigizaji mkongwe wa filamu nchini Tanzania, Kajala Masanja.
Mashabiki wa Mkurugenzi mkuu wa lebo ya muziki ya Konde Music Worldwide Harmonize wamepongeza wimbo wa Dear X, huku wakimtaja muigizaji mkongwe wa filamu nchini Tanzania, Kajala Masanja.